2025 amekula kiapo rasmi kuanza kuwatumikia wananchi wa jimbo la kigoma mjini msanii diamond platnumz alihudhuria mkutano huo. Wananchi mtandaoni waiwakia kampuni ya pepsi kumuondoa diamond kama balozi wake watishia kutokunywa pepsi Fanyeni kazi, acheni lawama, kila awamu, kila uongozi mnalalamika inside10 sep 2, 2025 bahati mbaya diamond halisi kufanya kazi maskini matako mfano ommy dimpoz sawa
Diamond The Body, rapper who leaked Burna boy's n00d reveals her shocking body count (video
Lilikuwa ni suala la muda tu
Pepsi imemvua ubalozi diamond , hivyo diamond ameondoa utambulisho rasmi wa yeye kama balozi wa pepsi tanzania
Sasa hapa inabidi nguvu nyingine itumike kuwashawishi serengeti nao wamtose ubalozi pia jambo lingine diamond amefuta picha ya. Dozi inaanza kumuingia taratibu diamond, kila akipost hapati comments wala like za kutosha kama mwanzoni hivyo inadhihirisha nguvu yake ya ushawishi inazidi kuporomoka Kuna post mbili alipost kupromote nyimbo zake na zote hizo post kapata mwitikio mdogo Kaja na drama zake na kizuchu wake.
Uwezekano wa baba levo kupewa uwaziri wa michezo upo ,iwe kwa kutumia ushawishi wa diamond au yeye mwenyewe maana uwezo wa kujieleza anao Sasa swali langu lipo hivi, je diamond anaweza akawa chawa rasmi wa baba levo kama itatokea baba levo akaukwaa uwaziri? Kitendo cha diamond kumuunga mkono samia kweye siasa uchwara kitamgharimu Kwa sasa najiuliza kama huyu ni diamond au demon
Kutoka kwenye ukurasa wa mwanamuziki diamond platnumz ameandika haya mwenyezi mungu ndio mpanga wa yote.na hapajatokea jambo pasipo yeye kutaka, na kila jambo hutokea kwa sababu.inshaallah na kwenye hili mwenyezi mungu atujaalie sababu yenye baraka kubwa kwa taifa letu.atujaalie amani.
Diamond alirelease nyimbo yake ya nne na kuweka record ya kuwa msanii wa kwanza na pekee kujaza club maisha hadi watu kushindwa kuingia na hata wengine kuzimia baada kutokupata hewa ya kutosha kutokna na wingi ujaaji huo. Kama kweli una uchungu wa watu waliopoteza maisha kwa ajili ya mama yule kuingia madarakani kibabe akisaidiwa na wasanii uchwara kumpa promo Promo zao zimewaponza, tunaanza walipoishia wao, wasifikiri vita imeisha ,ngoma bado mbichi sana.